Matthew 12:1

Bwana Wa Sabato

(Marko 2:23-28; Luka 6:1-5)

1 aWakati huo Isa alipitia kwenye mashamba ya nafaka siku ya Sabato. Wanafunzi wake walikuwa na njaa, nao wakaanza kuvunja masuke ya nafaka na kuyala.
Copyright information for SwhKC